Muimbaji wa nyimbo za injili kutoka jiji Mwanza,Neema Ng'asha anatarajia kufanya tamasha la kusifu na kuabudu(IN HIS PRESENCE LIVE CONCERT SEASON ONE) ambapo siku hiyo atazindua album ya "AKISEMA NDIYO".Tamasha hilo litafanyika tarehe/2019 Katika kanisa la MICC,Nyegezi kwa Dr.Zakayo Nzogere.Neema Ng'asha amewakaribisha Wadau wote wa muziki wa injili kuja kwa wingi kumuabudu Mungu kwa pamoja.Waimbaji wengi wamethibitisha kuwepo siku hiyo kumtia moyo Neema Ng'asha.
No comments:
Post a Comment