About Me

My photo
My Name is Neema Ng'asha C.E.O and Founder member of Strong Women Foundation.(SWF).

Friday, October 20, 2017

TAMASHA KUBWA LA UZINDUZI WA ALBAMS ZA NEEMA NG'ASHA SASA LIMEKARIBIA.

 


Muimbaji wa nyimbo za  Injili Neema Ng'asha kutoka jijini ,Mwanza  ameanza rasmi leo kutangaza mtandaoni uzinduzi wake mkubwa utakaofanyika tarehe 10/12/2017 katika uwanja wa CCM KIRUMBA,Mwanza.Neema Ng'asha akiongea na mwandishi wetu amesema anamshukuru sana Mungu kwa hatua hii aliyoifikia. Album zitakazo zinduliwa siku hiyo ni TUNAE BWANA DVD na USILIE TENA audio CD.Waimbaji binafsi wengi kutoka jijii Mwanza na kwaya zimethibitisha kuwepo katika uzinduzi huu.Neema amewaomba wakazi wa jijini Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla wasikose kufika uwanjani siku hiyo maana Mungu atakwenda kuwahudumia kwa njia ya tofauti na pia anaomba waje kumtia moyo kununua kazi zake.
 

No comments:

Post a Comment