About Me

My photo
My Name is Neema Ng'asha C.E.O and Founder member of Strong Women Foundation.(SWF).

Monday, May 22, 2017

NEEMA NG'ASHA KUIMBA TAMASHA LA PASAKA MWANZA.





Muimbaji wa nyimbo za injili Neema Ng'asha.
 
Muimbaji wa nyimbo za Injili Neema Ng'asha kwa mara ya kwanza alipata kibali kuimba kwenye tamasha la pasaka linaolandaliwa na kampuni ya MSAMA PROMOTIONS lililofanyikia jijini Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba,Neema Ng'asha  anasema "amemuona Mungu akimsaidia sana mpaka kufikia hatua hii,siku hiyo ilikuwa ya kihistoria katika huduma yake  na alimuona Mungu akimpa kibali kikubwa kwa watu waliokuwa uwanjani pale".

No comments:

Post a Comment